Kama ni kile cha chini hapo mbona fresh ila sio lile tumbo kitabuShida haziongezeki peke yake, mpk zije na tumbo ndiyo zinaridhika. Hahaa
Huyu si Abdi Kassim Babi?
Mimi naamini Simba ni timu yenye wachezaji wazuri kuliko Yanga, ila Yanga ina utimamu wa kisaikolojia tofauti na Simba au Azam. Mafanikio ya Yanga kwa kiasi kikubwa ni morali wa wachezaji sio ubora wa wachezaji. Tukubali, kisaikolojia Yanga imejengeka vizuri sanaVs Yanga mechi inakuwa ngumu
Vs Simba mechi inakuwa nyepesi huwezi kuamini kama hawa ndio Azam iliyofungwa goli 3 na Simba.
Wee ule uwanja wao enzi hizo unajengwa palikuwa bush kinyamalakini hawa mbona wao ni maborn town bwana
Sijakaa muda wote wa mechi, naumwaaaaaaaa! Leo tungelala kweli tungelikosa kombe?Simba walitaka kutuua😆😆 ila ndo hivyo tena tushakua wakupata sisi
🤣🤣 hili mpk nigoogle, khaaaKama ni kile cha chini hapo mbona fresh ila sio lile tumbo kitabu
Mtoto wa Mama Kizimkazi lazima apigwe faini ,na hapa ipo.Game zote ambazo Fei anawatukana mashabiki huwa wanapoteza
Haha umeshalijua nadhani🤣🤣 hili mpk nigoogle, khaaa
Hatarious. Bye, usiku mwemaHaha umeshalijua nadhani
Kina Fred na Jobe? kweli wewe mbumbumbuMimi naamini Simba ni timu yenye wachezaji wazuri kuliko Yanga, ila Yanga ina utimamu wa kisaikolojia tofauti na Simba au Yanga. Mafanikio ya Yanga ni morali wa wachezaji sio ubora wa wachezaji
Wazanzibar wenzake 🤣🤣Huyu Fei toto alikuwa ana mnyamazisha nani kwani?
Timu bora hata champs league kama sii ukora tuliofanyiwa South, tungekuwa na historia ambayo kolo angekuwa analia machozi kila akitutazama na kila akitukumbuka pamoja na wa South na waarabu 😅Timu imeyumba dakika za mwanzo japo imeshinda sijui diarra asingekuepo leo ingekuwaje
hahaha wananchi mna maneno jamani....leo kama naona mnavyosusia mbususu waume zenuWee ule uwanja wao enzi hizo unajengwa palikuwa bush kinyama
Miaka hiyo ya 2011/12
Kwahiyo bado ni wa bush,, wameshindwa kuwika town