mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Kila la heri,wananchi,umoja wa mataifa ,mabingwa wa nchi,mabingwa wa kihistoria.Gamond dongo day hoyeeBaada ya kutawazwa kama mabingwa wa ligi kwa mara 30 nchini Tanzania, Yanga Afrika leo tena watashuka dimbani mida ya saa 10 kamili jioni kumenyana na Dodoma Jiji.
Ikumbumbwe katika mchezo wa raundi ya kwanza, Yanga ilipata ushindi wa bao 1, hivyo Dodoma Jiji wataingia wakiwa na shauku ya kulipa kisasi ili wajinasue katika hatari ya kushuka daraja
Mchezo utapigwa katika dimba la Jamhuri na utaanza saa 10
ningependa kuona picha ya miss guede..Azizi ki kaenda na Mobetto Dodoma hayupo serious na kupata kiatu kabisa
Kila la kheri Guede wanguπ€Έππ
Jikite kwenye Madaningependa kuona picha ya miss guede..
nimechagua kujkita kwenye mapenzi..πJikite kwenye Mada
Sasa wangu umeambiwa ujikite kwenye mada wewe umejikita kwenye kimadaππnimechagua kujkita kwenye mapenzi..π