mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
- Thread starter
- #41
Ngoja niitunze hii comment kwa matumizi ya baadaeKi anaishia goli 15 . Hana maajabu tena ya kupata goli. Na wazee wa Pemba hawakubali Ki amzidi Feisal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niitunze hii comment kwa matumizi ya baadaeKi anaishia goli 15 . Hana maajabu tena ya kupata goli. Na wazee wa Pemba hawakubali Ki amzidi Feisal
Mimi na wewe wote walewaleacha umbea
mie yanga we kolo tofauti kabisaMimi na wewe wote walewale
huhuhu kwani kuwa kolo ni dhambiNiombe msamaha
kwani anahitaji ushindi leoMda si mrefu yanga itapigwa
bas we ni koloKUBWA SANAAAAAA
😃😃Azizi ameanguka
Sio kawaida yake
Haiwezekani una mechi halafu usiku ukeshe unakula utamu then utegemee ufunge Big No🤸
Kolo mwenyewe,🤸bas we ni kolo
huhuhuhuhuKolo mwenyewe,🤸
apigwe hata 100 ila azizi kii achukue kiatuYanga atapigwa tu.
Mwenye cha kupoteza ni nani?Hata tukipigwa hatuna cha kupoteza
Kolo kaa mbali
Nyie makoloMwenye cha kupoteza ni nani?