Duh nani tena💛💚Chumaaa
Mzize kafungaMtatupa update
Akifunga Ki utanishtuaMzize kafunga
Acha asafishe nyotaAzizi ki kaenda na Mobetto Dodoma hayupo serious na kupata kiatu kabisa
Kila la kheri Guede wangu🤸💛💚
Nani?💛💚Chumaaa
Ki anaishia goli 15 . Hana maajabu tena ya kupata goli. Na wazee wa Pemba hawakubali Ki amzidi FeisalAkifunga Ki utanishtua
achana nao hao wambeyaEFM walisema Azizi Ki hasafiri na timu kwenda Dodoma!
acha umbeaAzizi ameanguka
Sio kawaida yake
Haiwezekani una mechi halafu usiku ukeshe unakula utamu then utegemee ufunge Big No🤸