Nimekuambia hivi hii ndo redcard ya mwishoUtopolo tatizo lenu hamna uelewa wa mpira ligi ndio tumeanza hapa najua mtawapa TFF lawama mpaka msimu unaisha Simba mnyama gari lishawaka kila atakaekuja mbele kichapo na hizo kadi utaziona sana kwa Mnyama hutaki kachezeshe wewe
Ww kolo jike hii ndo redcard ya mwisho kwahyo huko mbele mjiandae maumivu tutopolo unatanaka viwiko viruhusiwe mechi za SSc
Gari lishawaka hakuna wakutuzia tena UTOPOLO mjiandae kisaikolojia kuwatukana TFF msimu mzima ukiona Simba inacheza tulia kama unanyolewa hutaki njoo uchezeshe weweKatika mechi 30 basi simba anashinda mechi 20 wakati timu hizo alizoshinda zilikuwa zimepewa redcard hahahaa
Na mwaka huu makolo pale hakuna timu, Kilichobaki ni kikosi cha wachimba chumvi na wakata miwa
Nikisema UTOPOLO wote hawajui mpira hivi nitakuwa nakosea wakati ndio kwanza mechi ya pili unaanza kuleta utabiri wa manyau nyau eti kadi ya mwisho gari limeshawaka kwa Mnyama mkali jiandae kisaikolojia Bingwa hafungwi kizembeNimekuambia hivi hii ndo redcard ya mwisho
Shabiki la timu kongwe linapojifariji. Kama leo hukujua kuna red basi red tegemea zingine shabiki la timu kongwe.Ww kolo jike hii ndo redcard ya mwisho kwahyo huko mbele mjiandae maumivu tu
Huyu ni Nchimbi fc bora wakalime nyasi za Taifa zinaisha kwa pira lao bovutopolo unatanaka viwiko viruhusiwe mechi za SSc
Na mwaka huu shuguli mnayo na hii timu yenu ya wavunja kuniShabiki la timu kongwe linapojifariji. Kama leo hukujua kuna red basi red tegemea zingine shabiki la timu kongwe.
Bingwa gani?, kwa hii timu ya wavunja kuni na wakata miwaNikisema UTOPOLO wote hawajui mpira hivi nitakuwa nakosea wakati ndio kwanza mechi ya pili unaanza kuleta utabiri wa manyau nyau eti kadi ya mwisho gari limeshawaka kwa Mnyama mkali jiandae kisaikolojia Bingwa hafungwi kizembe
Kwa hiyo wewe ulitaka mpaka afe mtu uwanjani ndo itoke red card au sio,,, au kadi nyekundu kwenye mpira hakuna?,,,,, hata mwaka jana uto mliongoza ligi karibia robo tatu ya msimu mwisho wa siku mkaangukia puaBasi tambueni hii ndo red card ya mwisho kuwapa timu pinzani ili mshinde makolo
Hawataki kukubali kwamba hawana timu mwaka huu angalia Leo kila mtu kacheza lakini bado tu unaona tatizo ni Lile Lile kiungo mshambuliaji timu hair namba kumi kabisa.Bingwa gani?, kwa hii timu ya wavunja kuni na wakata miwa
Mabingwa mara 4 mfululizo wa liguu ya tanzania bara au hujui na hili nalo unabisha wee kweli mwna wa UTOPOLOBingwa gani?, kwa hii timu ya wavunja kuni na wakata miwa
Ww kolo jike hujui kwamba an Era has fallen down Na Sasa Kilichobaki Timu wa wavunja kuni na wakata miwaMabingwa mara 4 mfululizo wa liguu ya tanzania bara au hujui na hili nalo unabisha wee kweli mwna wa UTOPOLO
Toka hapa utopolo weweHaya sasa hapa wanasimba tunaweza kushinda hii game baada hawa Dodoma Jiji kupungua uwanjani, tofauti na hapo hii tulikuwa tunafungwa
Twendeni tukashinde kipindi cha pili wanasimba wenzangu baada ya refa kurahisisha kaz
Umeuliza mabingwa nani nikajibu Mnyama mara 4 mfululizo unaanza kuongoea utopolo wako mtaumia sana kama mlikuwa mnadhani Simba itakuwa kama utopolo huko tulishatoka kitambo Simba ni Simba hata akizzeka hawezikuwa fisiWw kolo jike hujui kwamba an Era has fallen down Na Sasa Kilichobaki Timu wa wavunja kuni na wakata miwa
Tunashukuru kwa ushindi huu mwembamba kabisaToka hapa utopolo wewe
Sawa mashabiki wa timu ya wavunja kuni dunianiUmeuliza mabingwa nani nikajibu Mnyama mara 4 mfululizo unaanza kuongoea utopolo wako mtaumia sana kama mlikuwa mnadhani Simba itakuwa kama utopolo huko tulishatoka kitambo Simba ni Simba hata akizzeka hawezikuwa fisi
Leo ilibidi afungwe kirahisi tu. Alitumia nguvu zake zote kuwazuia simba!! Hjo mchoko lazima uwacost!!Hili soka letu bwana. Biashara alikaza kwa Simba Leo kafungwa na Ruvu akiwa Nyumbani kwake.
Timu za saizi yake zinaondoka na points zote.
Utopolo pole kwa kuteseka!! Hakuna namna usiyempenda anakuja!!Mbona ni kawaida kwa simba kushinda baada ya wapinzani kupunguzwa, tofauti na hapo nothing new to this club