Bro pale penalty hakuna mzeeHiyo ni penati halali. Nilikuwa na wasiwasi na hii penati, ila baada ya marudio ni penati halali kabisaaa. Anayebisha atakuwa alishapakwa futa na P.Diddy.
Ka apply nafasi za urefaHakuna, kacheza Mpira
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ahsante refa
Bila wewe dah
Penaaaaaaaat. Halali kabisa ile.Mbeleko kabisa
Si kweliPenati ilikuwa halali kabisa
PoleBro pale penalty hakuna mzee
Tuongee ukweli
Hakuna penalty hapoPenat halali kabisa.
Kacheza Mpira kwanza acha kuonesha umbumbumbu wakoAngalia marudio Topolo Lo. Kacheza miguu mpaka kajeruhi.
li🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nilijua tu Mrs.Sean Combs utajitokeza. We umeona beki wa Dodoma Jiji kacheza mpira pale?Bro pale penalty hakuna mzee
Tuongee ukweli
Weka ushabiki pembeni.Si kweli
Mr VAR wanakubishiaje kirahisi hivyo ebu wakomalieBro pale penalty hakuna mzee
Tuongee ukweli
Jamaa kacheza mpira tuache ushabiki maandaziPenati ilikuwa halali kabisa
Kajeruhi acha hasira.Kacheza Mpira kwanza acha kuonesha umbumbumbu wako