cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Nawee yakooo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongereni kwa kupata points 3 bila makosa ya kibinadamu ulikuwa unadondosha points timu yako bado inajitafuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawee yakooo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongereni kwa kupata points 3 bila makosa ya kibinadamu ulikuwa unadondosha points timu yako bado inajitafuta.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mapaziaaa, hangaikaa na team lako linalopoteana kila Leo.Lile ni goli?
Angalia kipyanga cha mwisho
Pia hiyo ni ishara kua leo mmebebwa
Poleeee wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna penalty pale ni muendelezo wa upuuzi wa marefa kwa kuendekeza njaaa.
Njaa inadhalilisha Sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alisema ni GOLI
Endeleaa kutesekaaaa, poleeeee weeMechi ya pili mfulululizo Simba Ina sababisha marefa wadhalilike. Makosa ya kibinadamu yamekua yakiongezeka.