FT | Friendly Match: Simba 1-1 Al Hilal | KMC Complex

FT | Friendly Match: Simba 1-1 Al Hilal | KMC Complex

Sergio Poku anaandika bao la kusawazisha
 
Sisi tulikuwa tunacheza kiungo uingoykumbe wenzetu wako serious
 
Ndio hapo sasa

Sisi na wazee wapi na wapi

Angalia tu umri wa Aucho naskia tayari huko mashuleni watoto wa ashaanza kupewa hesabu zake

Aucho kiumri kamzidi hadi Fadlu maana Fadlu anacheza kwenye 36
Labda Falu sio Fadlu yule akikosa 63 basi 66..
Mutale akikosa 43 basi 45 manake nywele za kati zina ulegevu kama mchicha wa kiangazi..
 
kimeuamanaaaa baadaee mmsemee kurujuuan at work
 
Makolo ni kikundi cha wahuni refa kawabeba mpaka kachoka,goli la offside,red card na ujinga ujinga ila Bado hilal wamewabikiri makolo bila kujali mbeleko ya refa.
 
Goli alichofanya striker wa AL HILAL ndiyo uwezo wa kwa team kubwa....
 
Back
Top Bottom