kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Yanga haitafuzu makundi mwaka huu. Chukua maneno yanguSimba Pu**bu moya
🤣🤣🤣🤣 Sawa bwana mangungu!Yanga haitafuzu makundi mwaka huu. Chukua maneno yangu
Wachezaji bado hawaja zoeana kwenye mechi za kimataifaTumeshinda njaa. Wachezaji 10 wametupigisha kwata 😂
Kama Nan?Yanga haitafuzu makundi mwaka huu. Chukua maneno yangu
Kwamba Cbe itamzuia? 😂 5imba tujipange kwanza na Al ahly tripoli. Mabululu ana jambo lakeKama Nan?
Shabikia kitu unachokifahamuFriends of Al Ahly, كل التوفيق للأهلي
Hamsa habib hamsa.....
AmeenYanga haitafuzu makundi mwaka huu. Chukua maneno yangu
Friend match inatoa mwanga wa timu yako ilivyo, kimbinu na kiufundi, kichaka cha friend match usingekisema kama ungeshinda, uyo kocha anajua timu yake Ina kibarua kwa maana anavyocheza ligi ndio ivyo ivyo anavyoaproach kucheza mechi za kimataifa ni tatizo mtakuja kumkataa siku sio nyingi, mbinu hana uyu kocha wenu ni empty!Friendly match lakini wavimba macho wanakomaa utadhani ilikuwa UEFA champions league.
Hata kocha Fadlu kasema kafurahishwa na matokeo, wewe mshika hirizi unakenua nini?
Mapigano yalikua Bado. Wasingecheza Sudan kama kulikua Kuna vita.
Kutoka Maktaba Timu hii iliwahi kumtemesha nyani bungo😂Wewe mkubwa ulileta timu yako ikafa kimoko mwanetu timu huna wewe na mwezi wa kumi nakupiga tena
Kweelii...Wachezaji bado hawaja zoeana kwenye mechi za kimataifa
Yanga ilitaka tuwalipie kisasi hawajui kuwa hawa ni 'rafiki zetu'🤣Friendly match lakini wavimba macho wanakomaa utadhani ilikuwa UEFA champions league.
Hata kocha Fadlu kasema kafurahishwa na matokeo, wewe mshika hirizi unakenua nini?
Na timu hii ndio ilipigwa 5 🤣 😁Kutoka Maktaba Timu hii iliwahi kumtemesha nyani bungo😂
Na yenyewe iliwahi kupigwa 6 na Timu iliyoipiga 5. Maktaba hii haisahau😁Na timu hii ndio ilipigwa 5 🤣 😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ifike wakati Mo aseme kama anatengeneza bendi ya Raggae maana ukiwa rastafarai tu ni kigezo tosha kulamba usajili 😀