Mkifungwa msiseme waliocheza sio Simba maana hamchelewiManula anacheza hecko hala baada ya shambulio la hatari kufanywa na Al Hilal
kumbe jamaa yupo 🤣Manula anacheza hecko hala baada ya shambulio la hatari kufanywa na Al Hilal
Wanapelekewa wao sio mimi asee,😁😁😁😁😁Ungeona jinsi mnavyopelekewa moto huku ungetulia tu
Amecheza nini yope?Kibuuuuuu aaaaah kipa amecheza
Kaa kwa kutulia mangiKuna mchezaji humo anaitwa UBWELA
Ongeza bidii soon utakua mchawi 😁liwakute lolote