Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hataaaaaaa kombe la pikpik awatakiwiiiiHii ndio Simba ya kwenda kushindana kombe la shirikisho🤣🤣🤣 mbinu za kocha kuifungua timu iliyo vizuri ni ovyo tu, timu inacheza pungufu but uoni tofauti yoyote ya timu pungufu na timu iliyokamilika, na bado wanacheza na al hilal iliyopungua UBORA wake kwa kiasi likubwa sana na bado wanaenyeka namna hii!
Kibu denis anamuhadaa tajiri. Siku akipuliza cha arusha anakimbiakimbia uwanjani tajiri anaona ewaaa mambo si ndo haya?Ifike wakati Mo aseme kama anatengeneza bendi ya Raggae maana ukiwa rastafarai tu ni kigezo tosha kulamba usajili 😀
🤣😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁🤣😂😁😁😁😁😁😁😁Bado hakuna timu, hata kuingia makundi nina mashaka
Tuwe wakweli tu mpaka hapa kuna Wachezaji timu Hakuna.Bado hakuna timu, hata kuingia makundi nina mashaka