gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
simba kafungwa leo? na nani?Yaani tunafungwa na timu pungufu? Mo anasajili marastafarai amesikia hiki ni kikundi cha Raggae? Mo atuachie timu yetu huyu Ong bak akatafute changamoto kwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
simba kafungwa leo? na nani?Yaani tunafungwa na timu pungufu? Mo anasajili marastafarai amesikia hiki ni kikundi cha Raggae? Mo atuachie timu yetu huyu Ong bak akatafute changamoto kwingine
ahoua kacheza leoNimesikitika sana. Ong bak hamna kocha pale, Mukwala ni jobe bila mikimbio. Ahoua ni saido mzubaifu. Mo anasajili waimba reggae.Bora atuachie timu
ubaya ubwelaTimu inafungwa na wachezaji pungufu??
Ni inbox hizo video za magoli, au bado mnaendelea kuyarekodi?Msisahu kutuma video za magoli
Kausha😉Ni inbox hizo video za magoli, au bado mnaendelea kuyarekodi?
Utopolo utamjua tu!Friend match inatoa mwanga wa timu yako ilivyo, kimbinu na kiufundi, kichaka cha friend match usingekisema kama ungeshinda, uyo kocha anajua timu yake Ina kibarua kwa maana anavyocheza ligi ndio ivyo ivyo anavyoaproach kucheza mechi za kimataifa ni tatizo mtakuja kumkataa siku sio nyingi, mbinu hana uyu kocha wenu ni empty!
Wacha weeee, kihasibu ndio tunaita overdraw au overdraft....?😹Mavambo mmoja sawa na Yanga nzima mpaka benchi
kwa mkapa nimetoka sare ww KMC complex umetoka ngapi ngapi mbona unaleta mambo ya ajabu
Baba wa watu alichoka stress akawakimbia
😂😁😁😁Baba wa watu alichoka stress akawakimbia
Nisamehe mkuu naishabikia simbaShabikia kitu unachokifahamu
Huyu kapimbe na mzamiru ni age goo sanaSimba nguvu moya 🦁
Haahaaa..sio kesi Mkuu..michezo tuNisamehe mkuu naishabikia simba
Hapo hamna timu Kuna waimba singeri mabob Marley wapo hapoKwamba Cbe itamzuia? 😂 5imba tujipange kwanza na Al ahly tripoli. Mabululu ana jambo lake
Wazoeane kwani yamekuwa mapenzi hayo .....hao ni wapumbavu tuWachezaji bado hawaja zoeana kwenye mechi za kimataifa