Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa sana kumbe yupo?Chama kafanya cha maana.
Ndie yeye mbona
🤣🤣🤣Daah visit Tanzania yetuSimba wako vizuri
Ya kwenu na nani?🤣🤣🤣Daah visit Tanzania yetu
Siku zote ukweli unauma. Simba ya sasa ni tofauti kabisa na ile simba ya akina Konde boy.Mkuu acha roho ya hivyo aisee daa
Maajabu ni kwamba, hata yeye amekuwa mfupi.Mnbona mna mnanga Bocco? Ameingia kwa sbb ya urefu wake lolote linaweza tokea
Ndio zaoVyura wa JF wana tabia za kufanana na vyura wa matopeni, wote huwa hawaonekani mpaka mvua inyeshe, hawa huku wakisikia Simba Sc kafungwa wanaibuka ...
Ndo mambo ya mechi hayo unaweza jiona mdg kama piritoniMaajabu ni kwamba, hata yeye amekuwa mfupi.
Kwani wewe uliposema achomoe ulikuwa unamaanisha achomoe nini?Haichomoki nini sasa? Akili za kifukara hizi, na ufukara ni laaana.