Cetshwayo Kampande
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,295
- 2,973
Nafuu aingie lomalisa,pole kwakeMachela imeitwa uwanjani kumbebeba kibabage
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafuu aingie lomalisa,pole kwakeMachela imeitwa uwanjani kumbebeba kibabage
Issue ndogo iyo mkuu, ebu tucheki sokaMechi Yanga mdhamini Crdb. Live ya mechi kama hii Live inakuwaje nyekundu? Ni sheria?
Eeewaaaaa. 😘Nilikuwa nameremeta na manjano yangu Leo..!😂😂
Yanga for Life C'ssy Shaddie..!!💛💚💛💚View attachment 2994008
Kwani nyekundu si inakuaga kwenye Jambo lolote umu la live,plus tanzia za misibaMechi Yanga mdhamini Crdb. Live ya mechi kama hii Live inakuwaje nyekundu? Ni sheria?
Kwani Simba iligoma kushiriki kombe la diwani huko Tegeta? Ingeweza kuingia fainali 5.Pia tusisahau leo kuna mechi kali ya hatua ya nusu fainali, Mashujaa cup kati ya Simba fc vs Kiluvya United.
Simba FC wakiwa wanalisaka kombe lao tatu msimu huu baada lile la ngao ya jamii na kombe la muungano, kama Simba itafanikiwa kuingia fainali leo hii basi itakuwa ni fainali yao ya nne ndani ya msimu mmoja, hakika ni mafanikio makubwa ndani ya msimu huu. Simba imeshacheza fainali tatu msimu huu ambayo nj ngao ya jamii, Mapinduzi cup na muungano cup.
Aisee. Chupu chupu rafiki.