🤣🤣🤣🤣 yani ww ni andunje mpk umeamua kumuweka na role modo wako avatarKo umeamua ku-capitilize kwenye ufupi eti😁Kila mtu sio kama andunje wako wa daraja mbili
Naskia JKT walipalima kwanza ili mechi iwe ngumuIli kuaje mka cheza kwenye jaruba
Watashangaa tutakavyokuwa tunawasogeleaMapigo na Mwendo
😁😁😁😁Haya bn Sina neno🤣🤣🤣🤣 yani ww ni andunje mpk umeamua kumuweka na role modo wako avatar
Mwamba wa d 2 super tall tuheshimiane
Hadi sasa tofauti ni alama 13 dhidi ya Yanga, unatakiwa ushinde viporo vyako vyote viwili ili gap ibakie point 7.Watashangaa tutakavyokuwa tunawasogelea
Yanga ikifungwa au kutoa droo, utasikia zogo lake!!!Hadi sasa tofauti ni alama 13 dhidi ya Yanga, unatakiwa ushinde viporo vyako vyote viwili ili gap ibakie point 7.
Punguza makasiriko😁😂Huna macho ama
Maswali yako mkuu, hii sare ya leo ni ya Muungano au Mei Mosi?Punguza makasiriko😁😂
Kila mtu ashinde mechi zake hakuna habari za iki iki. Hata wewe unaweza ikatokea hesabu za IKIYanga ikifungwa au kutoa droo, utasikia zogo lake!!!
Inafungwa na nani sasa kama nyie mmeshindwa nani awasaidie?Yanga ikifungwa au kutoa droo, utasikia zogo lake!!!
IHEFUInafungwa na nani sasa kama nyie mmeshindwa nani awasaidie?
Vinamuda basiii,Katika maamuzi sahihi ambayo niliifanya kwenye maisha yangu ni 'Kushabikia Yanga'💚💛🤸
hivi zouzu kastaafu gemu auPacome angekuwepo tungeshinda goli 4
100%Hahahaaa. Lol
Hivyo kwenye mbio za ubingwa bado na nyie mmo.
Ooh! Hongereni.100%