FT: JKT Tanzania 0 - 2 Azam FC | NBC Premier League | Meja Jenerali Isamuhyo Stadium | Mei 21, 2024

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
242
Reaction score
1,141

Leo Mei 21, 2024, JKT Tanzania itacheza mchezo wake dhidi ya Azam FC kwenye uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni.

KIla timu inapambana kutetea nafasi yake lakini zaidi Azam wakitafuta kusalia kwenya nafasi ya pili ili washiriki michuano ya kimataifa msimu ujao.

Yetu macho, tukutane saa 10:00 Jioni.


Kikosi cha Azam kilichoanza

Kikosi cha JKT Tanzania
 
Kama kuna mtu anafikiri Azam wanaweza chukua nafasi ya pili anapoteza muda wake. Matajiri wa Azam wanajua Azam ikicheza Champions league biashara itashuka, vile vile hawatafika popote. Kwa hiyo ni "kujivunja" tu.
 
Kama kuna mtu anafikiri Azam wanaweza chukua nafasi ya pili anapoteza muda wake. Matajiri wa Azam wanajua Azam ikicheza Champions league biashara itashuka, vile vile hawatafika popote. Kwa hiyo ni "kujivunja" tu.
Ficha ujinga wako mkuu
 
Kama kuna mtu anafikiri Azam wanaweza chukua nafasi ya pili anapoteza muda wake. Matajiri wa Azam wanajua Azam ikicheza Champions league biashara itashuka, vile vile hawatafika popote. Kwa hiyo ni "kujivunja" tu.
Simba nao wanaitaka nafasi ya 3 kwa udi na uvumba ,wamechoka kuishia robo finali
 
Kama kuna mtu anafikiri Azam wanaweza chukua nafasi ya pili anapoteza muda wake. Matajiri wa Azam wanajua Azam ikicheza Champions league biashara itashuka, vile vile hawatafika popote. Kwa hiyo ni "kujivunja" tu.
Azam FC sio Azam media kama ni taasisi moja uniambie kwanini wamedhamini ligi ambayo na wao wanashiriki
 
FT 0_3
FEITOTO KUFUNGA GOLI MOJA AMAMLAH
 
Sopu ana kimbelembele, bora angemuachia Feisal afunge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…