Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfungaji?Naona Azam 2 huko
kwa maan hiyo kila mechi iliobaki afunge tatu bilaaaMagoli 8 mpaka sasa kwa Simba zikiwa zimebakia mechi tatu, ngoja tuone leo Simba itapunguza magoli mangapi dhidi ya Geita
feisalMfungaji?
Aziz ki anamangap?Fei anachukua kiatu.. Itabidi mechi ijayo wafosi Ki apige hat trick
Aziz 15, Fei 16.Aziz ki anamangap?
Yatafungwa magoli ya kununua leoMagoli 8 mpaka sasa kwa Simba zikiwa zimebakia mechi tatu, ngoja tuone leo Simba itapunguza magoli mangapi dhidi ya Geita
Azizi ki kwa kiwango alichocheza mechi iliopita anaweza akikoseAziz 15, Fei 16.
Niko radhi kusahihishwa
Huku ikiwa inafanya maombi Azam asiongeze goli kwenye mechi zake mbili zilizobakia either Azam wafungwe au watoe sare.kwa maan hiyo kila mechi iliobaki afunge tatu bilaaa
Aziz 15, Fei 16.
Niko radhi kusahihis
Ipo hivyoAziz 15, Fei 16.
Niko radhi kusahihishwa
Ndio,siku ile ilikua haufai mimaji ilijaa sana,sio kama leohuu ndo uwanja waliochezaga yanga na JKT
Sikumbuki namba ila kabla ya mechi ya leo walikua sawa na FeiAziz ki anamangap?
Ni sahihi na pia Feisal mpaka sasa ana advantage mbili,Aziz 15, Fei 16.
Niko radhi kusahihishwa