Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Ngumu sana kutoka salama hapo Lubumbashi batoto ya nzambe haooo wamoto sana wanajua boliLubumbashi imekuwa ya uchungu kwa Mayele na wenzake View attachment 2914822
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngumu sana kutoka salama hapo Lubumbashi batoto ya nzambe haooo wamoto sana wanajua boliLubumbashi imekuwa ya uchungu kwa Mayele na wenzake View attachment 2914822
Wanafungwa vizuri tu hao waarabuYANAGA ATAJUTA KUWACHEZESHA WAARABU SAA MOKO USIKU
Saivi atakuja na kauli kuwa Yanga imetupia majini kwake na kwa timu yake mpya ili wasifuzu klabu bingwa
Yeye ni shuhuda tu wa utumikaji wa majini huko UtopoloniSaivi atakuja na kauli kuwa Yanga imetupia majini kwake na kwa timu yake mpya ili wasifuzu klabu bingwa
Safi sana ,Mimi nashabikia Mazembe weusi wenzangu.Lubumbashi imekuwa ya uchungu kwa Mayele na wenzake View attachment 2914822
Ndio, ya vijora lakini.Mpira unaisha kwa sare huo
Wazee wa kubeti si wamepita Hela hapa ?Ngoja Tuone huu utabiri kama utatikiView attachment 2914826
Nani alitabiri Hivi maana naona mchawi🤣🤣Ngoja Tuone huu utabiri kama utatikiView attachment 2914826
Kama sio huu basi wabadayeNdio, ya vijora lakini.
Hata ashinde 100-0 bado ni upuuzi tu iwapo Simba atashinda game ya mwishoWydad inatakiwa ashinde ngapi?
Kuna uhakika gani wa kushinda hiyo mechi?Hata ashinde 100-0 bado ni upuuzi tu iwapo Simba atashinda game ya mwisho
Hatujui ila tuna hopeKuna uhakika gani wa kushinda hiyo mechi?
Hayana athari.Ngoma ipo live Fransictown Stadium Botswana. Matokeo ya mechi hii yana athari kwa nafasi ya Mnyama Simba Sc kutinga robo fainali.
9' JG 0-0 Waydad
Anatakuwa ashinde kuanzia 3 ndo awe mshindi wa piliWydad inatakiwa ashinde ngapi?
FafanuaHayana athari.