FT: Jwaneng Galaxy 0 - 0 Simba | CAFCL | Francistown Stadium | 02.12.2023

FT: Jwaneng Galaxy 0 - 0 Simba | CAFCL | Francistown Stadium | 02.12.2023

Yani wewe leo mtihani upo kwako!!! Waza wale jamaa na ile mibegi ndo utajua hujui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
yani vyura wote leo hawaitaji yanga yao ni simba tu maana mnajua ndo mfalme wa hizi mbio ndefu....!!!

Nimekaa pale msipokufa 4 niite mbwa
Tulishawahi kukudai kinyesi, Mkeo bado tu hukomi kwa ahadi zako uchwara Mbumbumbu SC fan [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Tulishawahi kukudai kinyesi, Mkeo bado tu hukomi kwa ahadi zako uchwara Mbumbumbu SC fan [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

Nasemaje leo mpaka mtasema utopolo wahedi[emoji23][emoji23][emoji23] najua hapo mnasagia kunguni simba afungwe ili upuuzi wenu wakula nyingi baadae mseme ata simba alifungwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile sugunyo ndo mnapigwa leo dadeki
 
Mitaa niliyokulia GABORONE CITY nimewakumbuka wanangu wa pande za Botswana, wanangu wakuitwa waTswana, anyway KILA LENYE HERI JWANENG.
Hivi Francistown Stadium iko Gaborone?
 
Nasemaje leo mpaka mtasema utopolo wahedi[emoji23][emoji23][emoji23] najua hapo mnasagia kunguni simba afungwe ili upuuzi wenu wakula nyingi baadae mseme ata simba alifungwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile sugunyo ndo mnapigwa leo dadeki
Tulishawahi kukudai kinyesi, Mkeo bado tu hukomi kwa ahadi zako uchwara Mbumbumbu SC fan [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
When it comes to champions league simba huwa tunashinda bila kutumia nguvu yoyote....hata km hututaki huwa tunashindanga tu cjui kwa nini
Ni kweli kabisa na mpaka sasa mmecheza michezo mitatu ya champions league msimu huu na mmeshinda zote. Yaani kwa kushinda tu mko vizuri.
 
Back
Top Bottom