bakundande jr
JF-Expert Member
- Oct 22, 2021
- 507
- 672
Naimqni huu uzi umeanzishwa na mtu sahihi.
Match Day
[emoji471]CAF Champion League
[emoji460] Jwaneng Galaxy vs Simba
[emoji2522] Francistown Stadium
[emoji2783] 02.12.2023
[emoji354] 1600hours (EAT)
All the Best Mnyama.
#Nguvumoja#...
AhahhaaView attachment 2831081
Kutekenywa na kipepeo
AahaaaaaTunaenda kupasua kioo cha 2Galaxy
Ngoja tutaonaAahaaaaa
Angalia kisije kikadunda,ukajipiga mwenyewe
Tulishawahi kukudai kinyesi, Mkeo bado tu hukomi kwa ahadi zako uchwara Mbumbumbu SC fan [emoji28]Yani wewe leo mtihani upo kwako!!! Waza wale jamaa na ile mibegi ndo utajua hujui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
yani vyura wote leo hawaitaji yanga yao ni simba tu maana mnajua ndo mfalme wa hizi mbio ndefu....!!!
Nimekaa pale msipokufa 4 niite mbwa
Tulishawahi kukudai kinyesi, Mkeo bado tu hukomi kwa ahadi zako uchwara Mbumbumbu SC fan [emoji28]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mnapigwa 5Tunaenda kupasua kioo cha Galaxy
Tulishawahi kukudai kinyesi, Mkeo bado tu hukomi kwa ahadi zako uchwara Mbumbumbu SC fan [emoji28]Nasemaje leo mpaka mtasema utopolo wahedi[emoji23][emoji23][emoji23] najua hapo mnasagia kunguni simba afungwe ili upuuzi wenu wakula nyingi baadae mseme ata simba alifungwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile sugunyo ndo mnapigwa leo dadeki
Ni kweli kabisa na mpaka sasa mmecheza michezo mitatu ya champions league msimu huu na mmeshinda zote. Yaani kwa kushinda tu mko vizuri.When it comes to champions league simba huwa tunashinda bila kutumia nguvu yoyote....hata km hututaki huwa tunashindanga tu cjui kwa nini
Aaaah thubutuuuu, hapigwi chini ya 3.Kama kawaida Simba anadroo leo