FT: Jwaneng Galaxy 0 Simba SC 2

Timu zote ambazo tumezifunga ndio wanajua ubora wetu, akiwemo na Simba na kupigiwa mpira mwingi sana
swadakta waambie makolokwicho hawa timu hawana kelele nyingiii kama wauza mabeseni ya promotion
 
Huu Uzi wanatakiwa mashabiki wa Simba, biashara na Azam nashangaa Utopolo kuwaona humu wakati hawana kadi.
Wazee wa ndizi, kijiko na pilipili.
 
Acha makasirikio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…