Kagera wapo juu ya azam na Minziro ni zaidi ya benchi la ufundi azamUnataka kutuambia Kagera wana mpira mzuri kuliko Azam?
Japo ball haliko hivyo
Sema wazee wa SimbaVijana Wa Simba wana hari ya Ushindi.
Wataupata inshallah!!
Mi napongeza tu, nasisitiza Mgunda apewe timu.Kama vile hukuwepo
Mwana Yanga likes thisVijana Wa Simba wana hari ya Ushindi.
Wataupata inshallah!!