Amka braza usitumie maliwato ya ndotoni pliiiiiiiz.Utopolo wanashida kweli. Wanataka wao tu washinde. Tayri wameshaanza sababu. Naona dalili ya Simba kuchukua kombe
Nini tenaaa😀😀😀😀!?Chumaaa
Bado hujasema mpaka useme.Hizi kona zimekuwa nyingi mno
Soka linaendelea Dk 51
Soka linaendelea Dk 51
Ndio! Na mpira ushaisha leo simba anafungwa au drawNini tenaaa😀😀😀😀!?
Walima miwa wamerudisha!?
Kiko wapiiiii????Ya kabati