Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Nimecheka sana😂😂😂😂😂Ukiujua unaujua hatuna haja ya kuchoma na kuharibu pitch ya watu ,mbungi linapigwa tu hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana😂😂😂😂😂Ukiujua unaujua hatuna haja ya kuchoma na kuharibu pitch ya watu ,mbungi linapigwa tu hapa.
Kwa wale watoto aliochezesha amewadharau sana mashabiki waliojaza uwanja.Nabi hadi aseme ni changamoto gani alienda kuitafuta
Mkuu itoshe kusema mpira unaujuaDube alivyo-hold ule mpira🔥🔥🔥
Huyu asipoumia atatusumbua sana
Wamepungua 108135 people are here
Hatari sana
Walisika wanywe mbege wakifarijianaHalafu Utopolo wako serious kinyama.
Kwahiyo unataka kusemaje? Aumie?😂😂😂Dube alivyo-hold ule mpira🔥🔥🔥
Huyu asipoumia atatusumbua sana
Nabi hadi aseme ni changamoto gani alienda kuitafuta
Sawa kocha!
Umemuona mzizeChuma cha Tatuuuuuuuuuuuuuuuu...!💛💚🔥🤸
Mzize akeeeee
Usiseme kwa nguvuDube alivyo-hold ule mpira🔥🔥🔥
Huyu asipoumia atatusumbua sana
Bado hujathemAaaaaaaaaaa