Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo naangalia kwenye vibanda umiza ila viti haviumiza lazizi wangu ephenBora umekuja tucheck zetu ball! Unaangalia kwenye kibanda umiza au sebleni
AhahaaaHii mechi ilimuhitaji sana mchumba angu Guede😣
Wa wapi wewe?. Lete up-to-date kama tuko uwanjani.Jumapili hii, wananchi Yanga SC watakuwa dimbani tena katika Kombe la Toyota wakicheza na Kaizer Chiefs ya kocha Nasreddine Nabi.
----
View attachment 3055166
Kikosi cha Yanga kinachoanza5' Keiza 0 - 0 Yanga
10' Keiza 0 - 0 Yanga
15' Keiza 0 - 0 Yanga
20' Keiza 0 - 0 Yanga
25' Goooooal Dubeee
25' Keiza 0 - 1 Yanga
30' Keiza 0 - 1 Yanga
AahahahaaaYanga ni kama wanacheza na kitayose tu hapa mi naona.
Simba alienda pre season Turkey mwaka jana,akaambulia nafasi ya tatu😁Dstv wapo mubashara hapa wameanza na documentary ya Kaizer Chiefs akiwa Turkey pre season then inafuata mbungi.
MshaanzaKaiser chief sidhani kama anaweza akatoboa hata kwa coastal Union. Ni vile tu jamaa ni wakongwe ila kimpira ni jkt tuvu walio changamka.
Acha uchonganishi wako wewe..!
Huyo ni kolozidadWa wapi wewe?. Lete up-to-date kama tuko uwanjani.
Usiongee kwa nguvu bro Lucas akakusikia,utakosa pocket money😂Hii mechi ilimuhitaji sana mchumba angu Guede😣
🤣🤣🤣🤣
Aaah...! Sasa wanakimbilia nini kufungua niuz za wanaume? Si aende kuzindua magauni huko mikumiHuyo ni kolozidad
Asante kwa kunikumbusha mkuu😂Usiongee kwa nguvu bro Lucas akakusikia,utakosa pocket money😂