Snowden E
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,668
- 2,908
Itapendeza....0 -3 ft hapo baadae
But...Hadi refa apulize kipenga cha mwisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itapendeza....0 -3 ft hapo baadae
Hallah
[emoji881]
[emoji3590][emoji833]
Nguvu 1
[emoji120][emoji120]
Wydad ya sasa hata KMC anajipigia.Kafa Wydad ndo itakua hao Manispaa?
Aiseee!!Wydad ya sasa hata KMC anajipigia.
zile 5 hazikuwatosha..?simba tufungwe au droo ili tujifunze
Kipofu kaona mwezi.zile 5 hazikuwatosha..?
sawa tu!Kipofu kaona mwezi.
Mkuu una uhakika post uliyoquote ndio hii unayoijibu?Aiseee!!
Nyie watu mbona mnautopolo kwenye hoja zenu??
Timu ya tatu kwa ubora Afrika unaifananishaje na Medeama ambayo hata kwenye 80 Bora ya vilabu Afrika haipo!!
Katimu kameanzishwa mwaka 2002 unakafananishaje na timu iliyoanzishwa mwaka 1941 na yenye makombe matatu ya KLABU BINGWA AFRIKA?
Mimi ndiyo nimeitaja Medeama maana na wewe umeitaja Wydad wakati sisi tunacheza na KMC.Mkuu una uhakika post uliyoquote ndio hii unayoijibu?
Wapi nimeitaja Medeama?
Jibu mujarrabu kabisaMimi ndiyo nimeitaja Medeama maana na wewe umeitaja Wydad wakati sisi tunacheza na KMC.
Umeniuzia cheni ya bandia na mimi nimekupa noti ya bandia.
Tatizo umedandia mjadala ambao hukuujua mwanzo wake.Mimi ndiyo nimeitaja Medeama maana na wewe umeitaja Wydad wakati sisi tunacheza na KMC.
Umeniuzia cheni ya bandia na mimi nimekupa noti ya bandia.
Huku ushabiki ni kurukwa na akili.Tatizo umedandia mjadala ambao hukuujua mwanzo wake.
Ungefuatilia kwanza kabla ya kukurupuka kujibu, kama sio nakuheshimu nilidhani umerukwa na akili kidogo.
We need more than this.0 -3 ft hapo baadae
Goli moja analipatia wapi?Linaitwa Pira Benchika,
KMC watautafuta Kwa tochi sana.
Wale wa Kubet mpe KMC handicap ya goli 1 na Still Simba atashinda.
Wydad iliyojifia, Wydad jamvi la wageni hadi Galaxy kajipigia huko huko Morocco.Aiseee!!
Nyie watu mbona mnautopolo kwenye hoja zenu??
Timu ya tatu kwa ubora Afrika unaifananishaje na Medeama ambayo hata kwenye 80 Bora ya vilabu Afrika haipo!!
Katimu kameanzishwa mwaka 2002 unakafananishaje na timu iliyoanzishwa mwaka 1941 na yenye makombe matatu ya KLABU BINGWA AFRIKA?
Niko hapa Dodoma, Leo Tabora united tunapasua mtu vibaya sana.Veteran FC VS KMC
Ngoja tuone itakuwaje.
na belouizdad je ?Wydad ya sasa hata KMC anajipigia.