kiparaaaaaaaaAyubuuu kipaaa kipaaaaaa kipaaaaa
KIKO WAAP
Nyuki hao wanakuja shtuka[emoji3][emoji3]Wameenda kuwinda asali ya Tabora huku wakiwa hawajui kama kuna nyuki huko [emoji23]
Utawaweza vyuraHaha waanze kulikataa lile lao lililofanya Ubao usome mkono badala ya nne [emoji3][emoji3]
Aisee...Oyoooooooo!
Huyu ndio mnamfananisha na Diarra?
Pumbav zenu
Ahsante kwa hisani ya bwana ayubu 😂
Tulia dogotaratibu
Niko hapa MkuuMkuu rudi mambo yamenoga tayari huku.
Bwana Ayubu ameturudisha🤣🤣Ahsante kwa hisani ya bwana ayubu 😂
wanaweza ongeza kipindi cha 3
Tuko hapa, nyie vipi? 🤣🤣🤣Teh teh 😂😂 wanaanzaga na kasi sana Ila baadae wanaingia mitini.