Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Vingi CCM wamejimilikisha kutoka kua mali ya Umma hadi kua mali ya chamaViwanja vyote (ukitoa Chamazi) ni mali ya umma tunaweza kuchezea japo tunao uwanja wetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vingi CCM wamejimilikisha kutoka kua mali ya Umma hadi kua mali ya chamaViwanja vyote (ukitoa Chamazi) ni mali ya umma tunaweza kuchezea japo tunao uwanja wetu.
Wameenda kuwinda asali ya Tabora huku wakiwa hawajui kama kuna nyuki huko 😂Mwisho wa siku tumebaki wenyewe wapambe washakula kona
So tuwafanyeje ili waviachie hivyo viwanja?Vingi CCM wamejimilikisha kutoka kua mali ya Umma hadi kua mali ya chama
Umeonaeeee....Mnyama ni mnyama tu
Pole Sana mkuuWamesawazisha