Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Mbona nasikia hawa 🐸 wanalalama sana kuna nini kimetokea huko chamazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kipindi cha kwanza walikuwa wanatekeleza niniHawa KMC kipindi cha pili ni kama wanatekeleza maagizo waliyopata.
Namuonea Yunge mdogo yakheeeeeeSamaleko, aibu wamwonea nani yakhe.
Mbona nasikia hawa [emoji196] wanalalama sana kuna nini kimetokea huko chamazi
Shemeji yao kapigwa 😂Mbona nasikia hawa 🐸 wanalalama sana kuna nini kimetokea huko chamazi
Walikua hawajafika dauNa kipindi cha kwanza walikuwa wanatekeleza nini
Fainali kombe la cafSisi tumecheza fainali za CAF mwaka huuhuu, kwani ulikuwa ICU ndio umetoka leo Mkuu?
DAAH lile tuta sijawahi kuona 😁
Ile ni too much aisee, hata kama mnabebwa sio kivile sasa daah😂
Kombe la losers?Fainali kombe la caf
Hawataki magoli ya penatiMbona nasikia hawa 🐸 wanalalama sana kuna nini kimetokea huko chamazi