Nimeangalia matrjeo vizuri alitelezaMpira ni mchezo wa makosa, ukikosea unaadhibiwa
Nakuona mkuu nakuonaaaNiko hapa Mkuu
Raha sana
Kuna mods ni kolo kwa hiyo anachelewesha akiamini refa atasema ni goli la kuoteaMod acha kuwa kama kinyonga, hebu badili heading hapo huoni kolo kakandwa.
Zamani wamepoteana wanamidomo kweli baada ya kupinduliwa mezaMwisho wa siku tumebaki wenyewe wapambe washakula kona
Umepigaje hapo?🤣🤣weeeeh miso misondoooo
Hizo ni za wote blood ya kwanguHalafu kupoteza kote walikopoteza mnaongeza dakika 3, haya poa tu
Mkome!Aisee...
Kuandaa bajetiSimba sc wafanye Nini kipindi cha 3 😂🤣🤣😂🤣
Tofauti ya Ayubu na Kindoki ni rangi tu