Watu 20 wote kazi kumshauri MangunguTimu ina baraza la ushauri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Matokeo fair kabisaHaya ndo matokeo tuliyoyategemea timu dhaifu zikikutana. [emoji28]
Matokeo fair mkuu..?? kwamba nanyi sahii level yenu ni sawa na vijana wa Kino..??Matokeo fair kabisa
KabisaLeo kutakuwa na Kikao cha dharura pale Bunju,
Ujumbe unasambaa wasap 🤣🤣🤣
Hatujapoteza mchezoMkome!
Amemaanisha timu zilizofungwa tano zimetoshana nguvu leo.Matokeo fair mkuu..?? kwamba nanyi sahii level yenu ni sawa na vijana wa Kino..??
Mmepoteza points.Hatujapoteza mchezo
Hahahahahahahahahahahahahahahahaja.......TFF wasogeze mecha na Azam mbele zaidi
Yani aibu naona mimiHakika nimeamini Simba ni timu mbovu iliyojaa miujiza
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3]Medeama tena? Kweli kipigo cha yanga cha goli 5 kimekupa ugonjwa wa akili
Tulisema hatokula Pasaka, ngoja tuone.Kocha amechoka mapema sana, anahojiwa hana matumaini kabisa😂
Mmepoteza points.