Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha Chama wala nini hii timu haina wachezaji wazuri huo ndio ukwelichama ndio tatizo pale kati, yuko slow sana alafu anatuhujumu kwa yanga
🤣🤣🤣😂😂😁😁😁😁Kwisha habari Yao makoloooo
Sawa kaka😁😂😂🤣Mnacho One hour to come!!
Una uhakika na usemayo?Nimewaambia jana kama tumeamua kumrithisha Benchikha migogoro, tufute matumaini yote ya msimu huu, kuanzia ndani hadi kimataifa.
Kipindi cha kwanza tu cha mpira wa leo ulijua Simba haishindi hii mechi. Kwa sababu ya hii migogoro, Simba itatoka kwenye mbio za ubingwa kabla ya duru la kwanza halijaisha na itaenda kufungwa na ASEC.
Unapingana na kipi hapo nilichosema?Una uhakika na usemayo?
Kila mkifungwa hua hamkosi sababuNimewaambia jana kama tumeamua kumrithisha Benchikha migogoro, tufute matumaini yote ya msimu huu, kuanzia ndani hadi kimataifa.
Kipindi cha kwanza tu cha mpira wa leo ulijua Simba haishindi hii mechi, na siyo kwa sababu hatukuwa na uwezo wa kushinda. Kwa sababu ya hii migogoro, Simba itatoka kwenye mbio za ubingwa kabla ya duru la kwanza halijaisha na itaenda kufungwa na ASEC.
Wamelipata kweli 🤣🤣🤣Watoto uwezo wa kupata goli la pili wanao.