Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiwa kama kocha msaidizi bench la ufundi KMC, nimeyasikia malalamiko yako na ninaahidi kuyafanyia kazi.KMC fanyeni kweli mlipieni chama kisasi, hao wamemdhulumu chama bonus zake..lakini wamemsingizia mtovu wa nidhamu
Vipi mpaka hapo?Lazima utupongeze baada yakujua tuna hakika wakumpasua mtu!!
Kiukweli KMC nilianza kuishabikia mda sana baada ya yangaWana yanga hakuna kitu kizuri kama kuwa shabiki wa KMC United,,wana yanga sio mbaya kuwa na uraia pacha na KMC