Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Tangu nasoma mwenge primary school nilikuwa shabiki wa mwenge shooting ambayo hivi sasa ni KMCKiukweli KMC nilianza kuishabikia mda sana baada ya yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu nasoma mwenge primary school nilikuwa shabiki wa mwenge shooting ambayo hivi sasa ni KMCKiukweli KMC nilianza kuishabikia mda sana baada ya yanga
Mimi niliwahi kukutag nikakuomba vocha ya elfu 2 ukanichunia.Umewahi ku-tag hii ID ya Cookie ?
Leo wamekutana wote wahanga wa Young Africans. Wote walilichezea kono la nyani yan 5
Hii risiti inatunzwa baada ya dakika 90 tuicheki.Tutawafunga na mtawakimbia ndugu zenu
Yupo Onana usijali Mchezaji aliyekuwa anagombaniwa na Timu za Ulaya na Etoo akapendekeza aje Kwa WeKUNDU wa Msimbazi.Mwanya wa Chama umeonekana hauwezi kuzibika
Inonga kawaje sikuhizi..Yan hii Backl8ne yenu makolo iko open sana. KMC wanashindwa vip ku cement uongozi walau wangekua na goli mbili.
Hakika inapendeza sana tuvisapoti vilabu vyetu.Tangu nasoma mwenge primary school nilikuwa shabiki wa mwenge shooting ambayo hivi sasa ni KMC
Wameyataka wenyewe.Waonee huruma
Jamaa ana papara analazimisha kufunga sehemu ya kutoa pasi... By the way jamaa hua namkubali sana ana Goli 6 Hadi sasa..Huyu wazir Junior ni Azizi Ki mtupu.
Itakua anajaribu kumshawishi kocha sasa hapo ndio anakuja kuboronga, pia Inonga anapenda sana kucheza na jukwaaInonga kawaje sikuhizi..
Hivi vilabu huwa vinakosa sapoti hadi vinapotea, tusirudie makosa tena.Hakika inapendeza sana tuvisapoti vilabu vyetu.
Bado una swali?KMC shamba la bibi, najiuliza hiyo nafasi ya 5 wamefikaje fikaje?
Mkiambiwa watu wenye akili katika klabu ya Yanga ni wawili tu mnakasirika...Onana anacheza namba ya chama ?Yupo Onana usijali Mchezaji aliyekuwa anagombaniwa na Timu za Ulaya na Etoo akapendekeza aje Kwa WeKUNDU wa Msimbazi.