Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Nimekusaidia naona umemsahauKuna sehemu nimeandika Chama hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekusaidia naona umemsahauKuna sehemu nimeandika Chama hapo?
Umeona attemp nyingine, hii sema jamaa kazingua ila ilikuwa kaunta nzuri wanne kwa wawili.Wameidharau KMC wanaenda kuwapress juu sana hawajui kua kmc wana watu ambao wanaweza ishinda press kama akina awesu, tangalo ndio shida inapoanzia hapo ngoma anaondoka kanoute yuko juu Saidoo ndo hayupo mchezoni kabisa leo ni wa kutoka tu, Onana kakaa tu kule kwenye flang anasubiri mipira tu.
Na atakosa tena na tenaSaidoo anakosa
Hata hawa bado kuna kaubinafsi pale mbeleKMC kama wangekuwa na wachezaji hata wawili wenye quality tayari wangekuwa na goli tatu.
“Watoto wadogo, zima simu” 😂😂Naam tufanye hivyo hawa simba ni watoto wadogo (in TID voice)