killerKagere Goooooooooooooaaal
Bado goli mojaWa kwanza.
Simba One Energy
Hasira za Cafcl zinahamia Asfc pamoja na ligi kuu
Tunashinda nne mechi ya leo.
Azam mwambieni dube ajiandae kisaikolojia
akili zake anazijuaga yeye mda mwingineMorrison 😂😂😂😂
Mkude nasikia mtovu wa nidhamu tena sijui ni kweliIngiza chikwende,Kagere na Mkude
mkubwa ni mkubwa wao wamepewa mojaIngekuwa hawajatufanyia haki sisi wana Msimbazi kama tungeondoka na ushindi wa goli 2 kama utopolo
kawaonea hurumaIle ni penalty 100%
Huyu refa vipi??