Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana hawa marefa wanaishia hapa hapa huwezi kuwaona hata afcon under 17kawaonea huruma
Na mpiraaaa umekwishaaaaaPatashika ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup (ASFC), hatua ya robo fainali, kupigwa leo Jumatano ya Mei 26, 2021 ambapo Mabingwa Watetezi Simba SC, wanawakaribisha Dodoma Jiji FC kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa
Hata kama ni uongo Mkude ni wa kutema msimu ujao.Mkude nasikia mtovu wa nidhamu tena sijui ni kweli
Marefa wa tz huwa wanaona ni fea kutoa penati moja tu...hii penati refa kapeta
Kabisa. Kwanza kiwango kimeshuka pili hajifunzi.Hata kama ni uongo Mkude ni wa kutema msimu ujao.
Hata mm nimesikia et kachelewa kureport kambini sina hakika Nazo!!Mkude nasikia mtovu wa nidhamu tena sijui ni kweli
🤣🤣🤣🤣Tff walikuwa wanataka fainali ya simba v utopolo ndio maana azam kapangiwa Simba nusu kwasababu wanajua fika utopolo hamuwezi azam na vile vile hawezi kumhonga mil 40 😁😁
Yaani uto atabebwa hadi fainali kuja tu kula khamsa 😁😁
uchoyo ndo tatizo lake kubwakagere anakosaa hapa dk ya 91
We ulivyoona pale angepigaje pasi? Option ilikuwa kupiga tu tena alimuegemea beki kupata chance nzuri ya kupiga.uchoyo ndo tatizo lake kubwa
Mpira umewashinda kazi kuwaza uchawiHii video inayosambaa kuwa mmepulizia dawa dressing room ya Dodoma jiji.,najiuliza why kila siku ni nyinyi tu?
Ana uwezo wa kukataa ili afungwe na BiasharaTff walikuwa wanataka fainali ya simba v utopolo ndio maana azam kapangiwa Simba nusu kwasababu wanajua fika utopolo hamuwezi azam na vile vile hawezi kumhonga mil 40 [emoji16][emoji16]
Yaani uto atabebwa hadi fainali kuja tu kula khamsa [emoji16][emoji16]
umeona eeh, anamwaga waaah kuliko ShomariKameta huwa anapiga cross vizuri kuliko Kapombe apunguze woga ni mzuri sana kwenye kushambulia yule dogo.