FT: Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup | Simba SC Vs Azam FC | 1- 0 Uwanja wa Maji Maji

Wao wanawaza kupata sifa binafsi tu. Kuipeleka michezo mikoani lazima kuendane na uboreshaji wa miundombinu ili timu zifaidike na uwekezaji wake.
Mie nilitarajia kwa hatua hii kila kiwanja kiwe kimewekwa ama nyasi bandia ama pitch imeboreshwa kwa kiwango cha kimataifa.

Ila wa kumwagilia maji tu, bado ni kutoitendea haki michuano kwa hatua kama hizi.
 
Ukiongezea na pitch mbovu dah..
Kiukweli hatakama tunataka kupeleka hamasa za michezo mikoani lkn hivi viwanja tff waviangalie upya, huu uwanja haustahili kuchezwa mechi kama hizi.
Sasa balaa zaidi lipo kigoma huko ule uwanja ndio balaa kabisa una vichuguu kila sehemu, aliye pendekeza hivi viwanja ajitafakari aisee.
 
huko nako kuna watanzania wapenda michezo! na kodi wanalipa
 
Tunatudanganywa tuangalie mpira biriani,sasa lile biriani au buriani????

Morrison ndo atakayekuja kuwaokoa Simba kwenye hii mechi...maana Azam wanagonga spana za kiroho mbaya Chama hawezi hii mbilinge,Luis nae mipira haimfikii mara kwa mara anaonekana Hana madhara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…