FT: Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup | Simba SC Vs Azam FC | 1- 0 Uwanja wa Maji Maji

FT: Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup | Simba SC Vs Azam FC | 1- 0 Uwanja wa Maji Maji

Huyu kangwa vipi faulo gani za kijinga hizi aisee
 
Moris anacheza faulo mbaya sana sheziii typ..!
 
Hizi mechi kupelekwa kwenye viwanja vibovu vinaondoa ladha ya soka kabisa.! TFF ni muhimu walitazame hili
 
Back
Top Bottom