FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Huko kutakuwa ni kujifariji ila uhalisia ni tofauti. Nusu fainali hili kombe timu inalipwa Tsh ngapi?
Wanalipwa $450,000 sawa na 1,055,250,000

Wakati robo fainali Simba anakusanya zaidi ha Sh. 1,524,250,000 na 500,000 ya kutolea
 
Kwani uongo ofsa?

We mwenyewe unaona kabisa upinzani unaopata ukicheza na Ihefu ni mkubwa kuliko huu upinzani wa Rivers United

Mngekutana na Pyramids somehow inge make sense ila kwa performance ya Rivers hawaleti matumaini yoyote kwenye second leg
tunamuombea pyramids apite tukutane nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…