FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Kichaka pekee mlichobaki nacho
We endelea kuona kichaka na kujifariji kuwa kombe sio hela kama mwenzako

Ndio maana kabla ya Azam, TPL ilikuwa na kombe ambalo lina worth 80M.

Hiyo ni pesa ndogo sana. Wala haikufanya lile likasha liwe lina cha ziada ku-bust thamani ya ubingwa.

Now at least hela imeongezeka na kufanya mashindano yawe na thamani.

Thamani imekuja kuonekana kwasababu ya pesa sio kasha lenye muonekano wa mashine ya kusagia unga.

Jifunzeni
 
Chukueni nyie hiyo nyingi
 
Mara ya kwanza na ya mwisho utopolo anacheza makundi ya Cafcl ulikuwa umeshazaliwa ?
Wape Heshima yanga wewe, Ndiyo klabu ya kwanza East Africa kucheza Robo fainali CAF, na kama haitoshi ndio klabu yenye makombe mengi ligi kuu na iliyowahi kushinda ubingwa ligi kuu mara tano mfulululizo, kama haitoshi ndio klabu ya kwanza kuuza mchezaji Ulaya SUNDAY manara, wewe kunifunga derby moja ndani ya miaka mitatu unapiga makelele pye pye pye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…