joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hiyo nafasi mliipata mkasafiri na kuni na kuota moto katikati ya uwanja.Simba ingekutana na Rivers United saizi mipango ingekuwa kwenye fainali
Hawa ndugu zetu wana bahati sana ila hawajajua tu.
Rivers United angepigwa 7 na kila mtu angesema "wamepuliziwa sumu kwenye vyumba vyao", "Rivers United wabovu"