FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Huo nao unauita utaratibu huoni mlipigwa faini ya dola 10 elfu au kama utaratibu mzuri mbona hamu hurudii.
 
Huo nao unauita utaratibu huoni mlipigwa faini ya dola 10 elfu au kama utaratibu mzuri mbona hamu hurudii.
Eeh si kwasababu ya wanoko walienda kulalamika kuwa wameharibiwa uwanja.

Sasa na sisi tukisema ule moshi ulileta damage kwenye mapafu ya wachezaji, unafikiri faini itakuwa ya bei gani?

Ni uzungu tu
 
Hesabu za Yanga ni kuifunga mdomo Simba kimya kimya! Tumeanza na Ligi za Tanzania tumewanyang'anya makombe yote la NBC, Azam Federation na Ngao ya jamii.Kabati la makombe Simba limejaa vumbi second year aibu sana!

Shirikisho tunajenga uzoefu mashindano ya kimataifa na kubeba kombe Kisha ligi ikiisha tunaingia ligi ya mabingwa kwa kishindo na Hakimi bin Mbumbumbu fc mtakaa kimya, muda utaongea!

Hivi laki 6 ni sawa na million?

Mkikandwa week (7-0) huko Morocco mje kushtaki mi nimekaa paleeee!!
 
Cheki naye huyu

Unaelewa upo hapa kwa bahati mbaya na sio kwa mipango yako uliyojiwekea?
 
Eeh si kwasababu ya wanoko walienda kulalamika kuwa wameharibiwa uwanja.

Sasa na sisi tukisema ule moshi ulileta damage kwenye mapafu ya wachezaji, unafikiri faini itakuwa ya bei gani?

Ni uzungu tu
Wanoko tena wakati Kamera za CAF ziliwaona au siku hizi Camera nazo zimekuwa za kinoko.Ule moshi uliharibu pitch ya watu, wenzenu kila mwaka wanarekebisha pitch, nyinyi mshazoea fujo na ndio maana hata kwa Mkapa mling'oa viti.

Yaani nyie inatakiwa kwa Mkapa mpewe Mikeka.
 
Wanoko tena wakati Kamera za CAF ziliwaona au siku hizi Camera nazo zimekuwa za kinoko.Ule moshi uliharibu pitch ya watu, wenzenu kila mwaka wanarekebisha pitch, nyinyi mshazoea fujo na ndio maana hata kwa Mkapa mling'oa viti.
Camera ya CAF sio sababu, yapo matukio mengi yameshuhudiwa na Camera na bado hayakuwahi chukuliwa sheria hiyo.

Wanoko ndio waliotuchomesha
 
Camera ya CAF sio sababu, yapo matukio mengi yameshuhudiwa na Camera na bado hayakuwahi chukuliwa sheria hiyo.

Wanoko ndio waliotuchomesha
Ila wewe si umechukuliwa hatua maana yake umeonekana.
 
Ndio nini hivho umeweka?

Yani unafirahia kutopangwa ma Wydad kwasababu unaogopa kufungwa?

Sasa kipimo cha kusema wewe ni bora kitakuwa ni nini kama mechi ngumu kama hizo unaziogopa?

Ni lini wewe utakutana na mechi kubwa kama hiyo?
 

Attachments

  • 20230423_204412.jpg
    74.5 KB · Views: 2
Pale wachawi wanapopambana kuhalalisha matendo ya kichawi
 
Ndio nini hivho umeweka?

Yani unafirahia kutopangwa ma Wydad kwasababu unaogopa kufungwa?

Sasa kipimo cha kusema wewe ni bora kitakuwa ni nini kama mechi ngumu kama hizo unaziogopa?

Ni lini wewe utakutana na mechi kubwa kama hiyo?
Rekodi ya Wydad home games hakika inatisha sana sijaona tu timu ikipigwa wiki ila kwa Simba hii mbovu ya Mzee Onyango na mwanae Bocco, huko Morocco Simba isipokandwa 7-0 mi nahamia Zuwena fc!
 
Ila wewe si umechukuliwa hatua maana yake umeonekana.
Maana yake kuna wanoko, hata ule moshi wa jana Camera ziliona.

Kusimamisha mchezo lazima kuwe na sababu ambazo zipo nje na uwezo, yani zile natural causes

Kama mvua kubwa au ingetokea ukungu ingekuwa sawa.

Lakini sio kwa kitu kilichosababishwa na mtu.

Hata viongozi wa Wydad wenyewe waliulizwa wakasema walifanya vile kwa lengo la kuipoozesha Simba mashambulizi kuwafanya wachezaji wao wajipange vyema

Hivyo CAF walikuwa wanasikikizia reaction yetu sisi tumelipokeaje.

Ni uzungu tu
 
Rekodi ya Wydad home games hakika inatisha sana sijaona tu timu ikipigwa wiki ila kwa Simba hii mbovu ya Mzee Onyango na mwanae Bocco, huko Morocco Simba isipokandwa 7-0 mi nahamia Zuwena fc!
Level hizi waoga haziwafai.

Waoga wote walishatolewa

Wydad mwenyewe huko aliko anakuna kichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…