joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Huyu Wydad anakuna kichwa kwako, haya uzuri JF tupo hii comment nimeihifadhi,najua mtatukana Onyango the wonder kid siku hiyo.Level hizi waoga haziwafai.
Waoga wote walishatolewa
Wydad mwenyewe huko aliko anakuna kichwa
Sasa kwn simba akitoka ww utanufaika na nn?Huyu Wydad anakuna kichwa kwako, haya uzuri JF tupo hii comment nimeihifadhi,najua mtatukana Onyango the wonder kid siku hiyo.
Uzuri, unakubaliana na ninachokisema..!! Kikosi gani kimepelekwa haituhusu. Labda kama unasema WAYDAD WAMESAJILI MAGALASAWydad aliyecheza siku hiyo alipeleka kikosi kibovu
Mashabiki wa Simba mnaongoza duniani kwa kujiamini hakika kweli Rage aliona wao wote ni mbumbumbu fc, yaani kweli Simba anaweza kumla tembo mkubwa? Sidhani!Level hizi waoga haziwafai.
Waoga wote walishatolewa
Wydad mwenyewe huko aliko anakuna kichwa
Kwani wapi nimesema Simba anatoka?Sasa kwn simba akitoka ww utanufaika na nn?
Isikupe shida kuna mwenzako jana alihifadhi komenti yangu kwa ajili ya mechi ya baadaye lakini baada ya mechi akatokomea.Huyu Wydad anakuna kichwa kwako, haya uzuri JF tupo hii comment nimeihifadhi,najua mtatukana Onyango the wonder kid siku hiyo.
Timu zote kubwa zina wachezaji ambao sio tegemeo.Uzuri, unakubaliana na ninachokisema..!! Kikosi gani kimepelekwa haituhusu. Labda kama unasema WAYDAD WAMESAJILI MAGALASA
PolimilaiMashabiki wa Simba mnaongoza duniani kwa kujiamini hakika kweli Rage aliona wao wote ni mbumbumbu fc, yaani kweli Simba anaweza kumla tembo mkubwa? Sidhani!
Mkikoswa 7 mtapigwa 5 bila! Mvua hakuna kule pakaaaavu mpira unatembea tu kapu litajaa magoli!
Haya tupo hapa maana Onyango The wonder kid lawama mechi na Raja alipewa yy kumbe mwenzenu alikuwa hajala daku.Isikupe shida kuna mwenzako jana alihifadhi komenti yangu kwa ajili ya mechi ya baadaye lakini baada ya mechi akatokomea.
Eti adriz ile risiti yako umefungia mabumunda?
Unajionaje huko kolo ulipo saiv nabii wa uongoLeo yanga tunaweza tukafungwa amini usiamini ila kuchomoka na ushindi leo ni ngumu sanaaaa.
Nina was was na mentality ya wachezaji toka tupigwe na kitu kizito kwenye mechi ya derby.wachezaji morali haiko juu kama pale awali.
Kama uchawi wa bagamoyo tu ulituchapa goli 2 sasa uchawi wa nigeria je??????
Kwahiyo wakifungwa wanakuwa wamefungwa timu nyingine?Timu zote kubwa zina wachezaji ambao sio tegemeo.
Hakuna timu ambayo wachezaji wote hadi wanaokaa benchi ni wakali.
Afadhar tumeifunga timu bora kumbeNimecheck home games za Mitoo united mh! Wanatisha hawajafungwa Toka enzi za Obama akiwa Rais.Anyway tunawapasua 2 kwa 1.
Dini inayojua kuna uchawi lakini haina imani naoDini gani wewe?
Hata ikitokea tumefungwa haiwezi kuwa story kubwa.Haya tupo hapa maana Onyango The wonder kid lawama mechi na Raja alipewa yy kumbe mwenzenu alikuwa hajala daku.
Dini gani sasa?Dini inayojua kuna uchawi lakini haina imani nao
Sawa ila nafasi tuliyo ipata tunaitumia vizuri na si kama nyie mlioota moto katikati ya uwanja.Hata ikitokea tumefungwa haiwezi kuwa story kubwa.
Nyinyi mlifungwa hatua za mwanzoni na mkatolewa kabisa bila kupewa chochote lakini mbona ugali mlikula?
Sasa sembuse sisi ambao tukitoka tunapewa na mikwanja ambayo nyinyi hampati labda mfike fainali
Nafasi mliyoipata sio kushiriki, nafasi mliyoipata ni kupangwa na viande.Sawa ila nafasi tuliyo ipata tunaitumia vizuri na si kama nyie mlioota moto katikati ya uwanja.
Hela sio lengo letu, sisi tunalitaka kombe.
narejea kabla ya mechinasemaje leo huyo mto united anakufa mtajua hamjui