FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Yaani kila inapocheza Yanga, basi lazima mkimbilie kuanzisha uzi! Kwa nini msiache nafasi kwa Wananchi wenyewe akina Joseverest na wengineo wengi kutuanzishia uzi wenye misingi ya kiuwananchi?

Jambo hili halijakaa sawa hata kidogo.
OOoh kumbe kuhusu hilo...
 
Nyie Rivers Casablanca nawaaminia sana waarabu wangu. Piga hao malimao united. Nigeria hatoka mtu
 
Huko Nigeria, Yanga itapoteza kwa magoli mawili kisha hapa Dar-es Salaam game itakuja kuisha kwa sare ya 1-1.
 
Yaani kila inapocheza Yanga, basi lazima mkimbilie kuanzisha uzi! Kwa nini msiache nafasi kwa Wananchi wenyewe akina Joseverest na wengineo wengi kutuanzishia uzi wenye misingi ya kiuwananchi?

Jambo hili halijakaa sawa hata kidogo.
Huwa kuna fedha zinatolewa kwa muanzisha uzi?
 
Sasahivi tupo hapa na nyinyi ila nina uhakika baada ya game kuanza mtajificha kwenye mashimo yenu kama panya, tusipokuwepo huu uzi hautatembea.
Makolokolo hamuwezi kujutenga na umbumbumbu hata kidogo, kwani lazima Mtu awe anaangalia mpira huku akiwa anachangia chochote kwenye uzi huu?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Alama 3 za nini sasa? Kwani hii ni hatunaya makundi hadi pawe na alama?
 
Mwamba huyu hapa leo lazima akunje bigidi
 

Attachments

  • 20230417_180638.jpg
    218.4 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…