MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
Mwanyeto nishida anamakosa mengi sanaMzee wa mikimbio naona leo ameanza
Atakuwa na wakati mzuri sana ila kusiwepo na mpinzani mwenye vinasibu vinavyofanana na Kibu.
View attachment 2597140
Morrison hata benchi hayupo!!!!Mzee wa mikimbio naona leo ameanza
Atakuwa na wakati mzuri sana ila kusiwepo na mpinzani mwenye vinasibu vinavyofanana na Kibu.
View attachment 2597140
Kama ni kweli basi ana shida kichwaniMorrison hata benchi hayupo!!!!
Awali kulikuwa na tetesi kuwa amerudishwa Bongo baada ya kukutwa akiuza mbinu kwa mchezaji wa Rivers ambaye wanatoka nchi moja Ghana.
Baada ya hiyo taarifa watu wengi hatukuizingatia, lakini hiki kitendo cha yeye kutojumuishwa kwenye kikosi hata benchi asiwepo, kunaleta maswali.
Naona ni full defensive game!Mzee wa mikimbio naona leo ameanza
Atakuwa na wakati mzuri sana ila kusiwepo na mpinzani mwenye vinasibu vinavyofanana na Kibu.
View attachment 2597140
Mwamba huyu hapa leo lazima akunje bigidi
Hili nalo mkalitazameYanga win both halves
Duh kumbe kuna masharti ya kuanzisha nyuzi za yanga[emoji3][emoji818][emoji1550]Yaani kila inapocheza Yanga, basi lazima mkimbilie kuanzisha uzi! Kwa nini msiache nafasi kwa Wananchi wenyewe akina Joseverest na wengineo wengi kutuanzishia uzi wenye misingi ya kiuwananchi?
Jambo hili halijakaa sawa hata kidogo.
Taarifa kama hizi zitaendelea kubakia kuwa za kufikirika tu. Kama uongozi wetu haujatolea tamko, nitakuwa mtu wa mwisho kukuamini.Morrison hata benchi hayupo!!!!
Awali kulikuwa na tetesi kuwa amerudishwa Bongo baada ya kukutwa akiuza mbinu kwa mchezaji wa Rivers ambaye wanatoka nchi moja Ghana.
Baada ya hiyo taarifa watu wengi hatukuizingatia, lakini hiki kitendo cha yeye kutojumuishwa kwenye kikosi hata benchi asiwepo, kunaleta maswali.
Hili liko wazi. Na hasa uzi unaohusu updates za mechi kama hizi.Duh kumbe kuna masharti ya kuanzisha nyuzi za yanga[emoji3][emoji818][emoji1550]
Yap kuna muda nilicheki odds nikakuta mwananchi kapewa 5 wakati River kapewa 1Naona ni full defensive game!
Stake high..Yanga win both halves
Uchawi hauchezi mpiraLeo yanga tunaweza tukafungwa amini usiamini ila kuchomoka na ushindi leo ni ngumu sanaaaa.
Nina was was na mentality ya wachezaji toka tupigwe na kitu kizito kwenye mechi ya derby.wachezaji morali haiko juu kama pale awali.
Kama uchawi wa bagamoyo tu ulituchapa goli 2 sasa uchawi wa nigeria je??????