Una point mzeya ifike sehemu wfanye maamuzi magumu.Lakini makocha wetu hawa kila mechi kumpanga Samata kisa anacheza nje ni ujinga, Samata kacheza mechi nyingi za Taifa Stars na hana maajabu,kwanini hawawapi nafasi wengine Samata aanzie hata benchi.
KWA HERUFI KUBWA;Lakini makocha wetu hawa kila mechi kumpanga Samata kisa anacheza nje ni ujinga, Samata kacheza mechi nyingi za Taifa Stars na hana maajabu,kwanini hawawapi nafasi wengine Samata aanzie hata benchi.
hapa wangewekwa hata washambuliaji kutoka vilabu vingine wenye uchu wa kuonekana , Samata hizi mechi zetu za huku anazichukulia kama ndondo.Una point mzeya ifike sehemu wfanye maamuzi magumu.
Kwa upande mwengine mie namuelewa samatta...siwezi jituma nirisk ulajibwangu wa mamillion kwa timu yenyewe kichwa cha mwendawazimu
Samata hizi mechi haziwezi ,halafu makocha wanaangalia jina kila mechi yeye tuKWA HERUFI KUBWA;
Kibu Denis ni Bora kuliko Samata kwenye timu ya Taifa.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Kibu amejitahidi kuliko Samata na wenzakeKWA HERUFI KUBWA;
Kibu Denis ni Bora kuliko Samata kwenye timu ya Taifa.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Hii ni point na hii ndio ilikua nafasi yetuAtakae fanikiwa mpiga niger nyumbani na ugenini kati ya tz na uganda ndio atakae enda na algeria afcon