FT: Leeds United 3- 0 Chelsea, EPL

FT: Leeds United 3- 0 Chelsea, EPL

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20220821-175255_Google.jpg
 
Msimu huu ni wa Arsenal na man city.. hawa wengine wajipange kwa misimu ijayo.
 
Haya yalishawahi kutokea miaka ya kina Henry hivyo halitakuwa jambo jipya. Timu zitakazopata sare kwa arsenal ni man city na tottenham wengine wote watafungwa.
Sasa unaongelea miaka ya kina Henry mzee kwani ni akina Henry hao au?
 
Sasa unaongelea miaka ya kina Henry mzee kwani ni akina Henry hao au?
Timu imerejea.. GJ ndio Henry, Martinelli ndio bergcamp, Saka ndio Pires, Partey ndio Vieira, Saliba ndio Campbell, Odegaard ndio Gilberto na Magalhanes ndio Lauren.
 
Leo ninafurahi sana Chelsea kufungwa zaidi ya furaha. Mimi man u kesho tunachinja jogoo?
 
Back
Top Bottom