FT: Ligi Kuu Bara | Azam FC 1-1 Simba SC | Uwanja wa Chamazi Complex | Mei 18, 2022

Aende wapi kwa mujibu wa Mwenyekiti wenu alitakiwa aende kucheza ligi ya Uturuki ila yy kaichagua Simba na kishafika kwani Mwenyekiti ana pasu lake kwenye mshahara wa Banda.
Hapo ndo simba hupigwa, simba haina scouts, simba ina madalali wapigaji, wanakuletea video ona mtoto chenga zake, wanakudanganya huyu anatakiwa na timu hii, wametoa milioni kadhaa wamekataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…