FT: Ligi Kuu Bara | Azam FC 1-1 Simba SC | Uwanja wa Chamazi Complex | Mei 18, 2022

Azam yataachia yale siku zote yanafanya hivyo hivyo
 
Makolo wanacheza na tawi lao
Hamna mechi hapo ni maigizo tu leo, matokeo yalisha pangwa tayari
Azam anapigwa goli 2 au 1 bila na akiachia sana mpaka 3 atapigwa
 
00' Naaam mpira umeanza uwanja wa Chamazi Complex

Azam FC 0-0 Simba SC
 
1'

Prince dube alikuwa yuko kwenye nafasi nzuri lakini amekosa utulivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…