Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Azam yataachia yale siku zote yanafanya hivyo hivyoHii mechi kama wachezaji wote wa Azam na bench la ufundi na uongozi wao wataiona hii mechi ina umuhimu kwao kupata nafasi ya top four, basi Azam watashinda au watatoa sare. Lakini kama wataingia kucheza mechi ili kumfurahisha boss wao ambaye ni Simba kindaki kindaki kuwa mechi ya leo isiwe tiketi ya Yanga kujipa uhakika wa ubingwa kwa zaidi yaasilimia 90, basi watazioga leo
Huu mpira wote tunaangalia , huwezi kumfunga mtu kwenye position ile1'
Prince dube alikuwa yuko kwenye nafasi nzuri lakini amekosa utulivu